redio za tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Radio stations za Kenya zipo mbali sana kiuchambuzi kuliko za Tanzania ambazo ni udaku tu

    Niko hapa mpaka wa kenya na Tanzania nasikiliza radio za kenya. Ki ukweli wako mbali sana katika uchambuzi wa masuaala mbalimbali ya siasa, uchumi na ya kijamii. Hakuna haja hata ya kujiunga na DW au BBC kusikikiza issues. Hizi hizi zinatosha. Huku kwetu sasa ni mipira tu kuanzia asubuhi mpaka...
  2. M

    Redio za Tanzania ni vijiwe vya kahawa vilivochangamka na kulipana posho

    Redio naskiliza kwaajili ya kupata au kukusanya habari mpya ili niifatilie kwa umakini hyo habari maana redio zetu wamejaa mbumbumbu wengi mno hawajui lolote wao wanaropoka tu hawafanyi analysis kabla ya kuja kuongea na watu wengi. Hivi wanafikiri wasikilizaj wote ni wajinga kama wao? sio kwnye...
  3. comrade_kipepe

    Hivi nchi hii redio gani inafaa kusikiliza?

    Maana nimeshachoka kusikiliza miziki ya hovyo na mpira Mwenye hii comment kanigusa sana Redio zinashindana kua na michezo ya kamari kila redio ina ina michezo ya kubahatisha
Back
Top Bottom