Salaam wadau. Kama kichwa cha tangazo kinavyojieleza. Nauza simu tajwa hapo juu yenye sifa zifuatazo:-
Simu bado ni mpya, imetumika kwa wiki 2 tu.
Storage 8 ni 8/256 gb.
Ina kila kitu chake tatizo Box tu ambalo kwa bahati mbaya lilitupwa.
Bei ya kuanzia ni Tsh 600,000/=
Yeyote aliye serious...