A referendum (PL: referendums or referenda) is a direct vote by the electorate on a proposal, law, or political issue. This is in contrast to an issue being voted on by a representative. This may result in the adoption of a new policy or specific law, or the referendum may be only advisory. In some countries, it is synonymous with or commonly known by other names including plebiscite, votation, popular consultation, ballot question, ballot measure, or proposition.
Some definitions of 'plebiscite' suggest it is a type of vote to change the constitution or government of a country. The word, 'referendum' is often a catchall, used for both legislative referrals and initiatives.
Kwa upendeleo unaona onekana Sasa kwa chama Cha CCM na ubaguzi dhidi ya vyama vya upinzani, hasa kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa nashauri ya kwamba ni muda Sasa watanzania waulizwe Kama tuendelee na mfumo wa vyama vingi.
Tunadanganyana kwamba tupo kwenye mfumo wa vyama vingi ilihali...
CountCapone
Kabla ya mwaka 1961 hakukuwahi kuwa na nchi inayoitwa Tanzania kwenye ramani
1-1885 Ardhi ya Tanzania haikua na dola moja inayotawala bali jamii nyingi zilizogawanyika
1885-1919 Deutsch-Ostafrika (Afrika Mashariki ya Ujerumani
1919-1960 British East Africa Protectorate...