Habari Wanajamvi!
Wacha niende Moja kwa Moja kwenye Maada yangu.
Nina shida ya kifedha, hivyo nalazimika kuuza friji yangu aina ya frigo.
Glass(650Ltrs)nimeitumia miezi mitano tu, kwamaana hiyo Bado ni mpya na iko kwenye hali nzuri.
Bei ni Tshs 650,000/=
Kwa mawasiliano nicheki 0745 493961
We tuambie budget yako ni shilling ngapi na unahitaji home appliances ipi tuko kwa ajili yako
Kwalioko dar es salaam unaletewa mzigo ndo unalipa na mikoani unatuma fedha ndo tunakutumia mzigo.
Mawasiliano ya cargo tunazotumiaga wapigie watakuelekeza ofisi zao zilipo kwenye mkoa husika, na bei...
Based on Dar es salaam & Zanzibar.
Generator Services, Refrigerator Services, Air conditioners Services, Electrical wiring, Washing machines services.
For first & Reliable Services call us First. +255 693 797 110
Cc. Breeze Rabi
Wakuu habar.
Kuna mtu anataka kuniuzia fjiji Aina ya Von milango miwili. Ni friji dogo.
Sasa sina utaalam na friji na hata muuzaji hafaham linatumia unit ngap Kwa siku.
Mwenye kujua Kwa kuangalia specification hizi anisaidie.
Friji/Jokofu linauzwa Tsh.350,000/= NET!
______________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________
Linatumia 0.8 units tu za umeme kwa masaa 24.
Tena hapo ukiwa ume'seti namba KUBWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.