refu zaidi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Eli Cohen

    Ebu tazama ujenzi huu wa shimo la wastage. Jembaba kwa upana alafu refu zaidi mita 15 kwenda chini.

    https://youtube.com/shorts/uniqnNb37D8?si=tx3ZRU-dGCu6Bye_
  2. Suley2019

    'OBLISCO CAPITAL', Jengo linalotarajiwa kuwa refu zaidi linalojengwa Misri. Linataraji kulifunika Burj Khalifa

    Oblisco Capitale ni jengo (Tower) inayojengwa kuwa mojawapo ya alama za Jiji la Cairo. Mnara wa Oblisco Capitale unaotarajiwa kuwa urefu wa mita 1000 (KM 1) kwenda hewani utakamilika ifikapo mwaka 2030 utakuwa mkubwa na mrefu zaidi zaidi ya ule uliopo Burj Khalifa nchini Dubai, hivyo kuufanya...
  3. Suzy Elias

    Daraja la Busisi ni refu zaidi Afrika Mashariki na Kati

    Ilikuwa kama masihara hivi Hayati Magufuli alipoahidi atajenga daraja la Busisi lenye urefu wa zaidi ya kilomita 3. JPM kama alivyoahidi ujenzi ulianza mara moja. Hapo juu ni ujenzi wa daraja la Busisi likiendelea kujengwa na sasa ujenzi wake umezidi 50%. Pongezi za dhati zimwendee Rais Samia...
  4. TODAYS

    Hili ndilo jengo refu zaidi kwa makazi linalojengwa kwa mbao

    Uswizi inatazamiwa kuwa ndiyo nchi ya kwanza duniani kuwa na jengo refu zaidi la makazi litakalojengwa kwa mbao. Mradi huo uliopewa jina la Rocket & Tigerli, utajumuisha majengo manne likiwemo moja litakalokuwa na mnara wa urefu wa mita 100 (futi 328). Ujenzi wa jengo hilo unatazamiwa...
  5. B

    Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa - Dubai lapambwa kwa picha za Bendera ya Tanzania

    Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa pale Dubai muda huu limenakshiwa kwa Bendera ya Tanzania mwanzo mpaka mwisho lote. Dunia nzima sasa inatazama maajabu haya kwenye Jengo hilo refu zaidi Duniani huku Utalii wa Taifa letu ukizidi kutangazwa. Yote hii ni matunda ya ziara ya siku 3 ya Rais...
  6. Miss Zomboko

    The African Renaissance: Sanamu refu zaidi barani Afrika

    Sanamu linapatikana Nchini Senegal lenye urefu wa Mita 49 ilitengenezwa Korea Kaskazini. Linajulikana kama ‘The African Renaissance’ ambapo lilizinduliwa Aprili 2010 na aliyekuwa Rais kwa wakati huo, Abdoulaye Wade Sanamu hii kubwa ya shaba iliyopo Dakar ilikusudiwa kuashiria ushindi wa...
Back
Top Bottom