Hapo mwanzo kipindi bado nakaa kijijini nilitamani sana siku nikimaliza elimu yangu ya sekondary basi nikasomee elimu ya juu katika jiji la Dar es Salaam kwani mama yangu Rebeka Kilomba, alinisisitiza nisome Sana na kwa bidii. Kweli sikukata tamaa katka masomo yangu ya sekondary.
Mungu si...