regis uwayezu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Regis Uwayezu awa Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo Rwanda

    Rais wa Rwanda Paul Kagame amemteua aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba Bw. Regis Uwayezu kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo Rwanda. Mwezi Julai mwaka 2024 klabu ya Simba ilimtambulisha Bw. Francis Regis Uwayezu kuwa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo lakini miezi minne baadae [Novemba]...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…