Wakuu,
Kuna hii taarifa hapa na hata jana tu simesikia, dada kaweka nywele zake dawa akisema akichoka kuwa na nywele hizo zenye dawa basi ataziosha kwa kutumia kinywaji cha Coca-Cola na nyele zake zitarudi kuwa natural kama mwanzo, hii ni kweli?
Maana mimi najua nywele ikiwekwa sawa haiwezi...