Mods naomba msifute uzi huu kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.
Kiukweli kwa hali jinsi inavyoenda miaka miwili itakuwa mingi treni ya Deluxe kutoka Dar kwenda Arusha itakufa. Kwa Kigoma sijajua maana ni wavumilivu sana, sio walalamishi
Tunakumbuka jinsi mwendazake (JPM) alivyotumia nguvu na...