Sasa wazee habari zenu kwanza, Heri ya mwaka mpya,
Kwa upande wangu baada ya hii AI ya Deepseek kuvumbuliwa nikajua labda inaweza kuleta school of thought mbadala kabisa kwenye hill swali pendwa kwa kila mwanadamu mwenye akili timamu.
Sasa mbona kama majibu ni yale yale hata kwenye Chat AI...
I am not a scientist and it may be that nothing I have written has any bearing in reality. However, I present it anyway on the off-chance that even if it doesn’t, at least it might inspire someone else to come up with something that is real and has real power to find the common threads that run...
The so called Pastors, know how to take fund in the name of sadaka from the faith-fools and make their fortunes here on earth.
While lying to them that by doing so, they are investing for their own good lives in heaven.
And again,
According to peddlers of religion, bad things will befall...
The Sinicization Of Religions In China
Huu ni utaratibu maalumu unaofanywa na nchi ya China kuzifanya dini zote za ng'ambo ziendane na utamaduni na mfumo mzima wa maisha wa jamii ya kichina.
Utaratibu huu umeanza karne na karne na umekuwa ukipitia maboresho kadhaa mpaka sasa chini ya China ya...
The opium of the mass/people. Dini ni utapeli mkubwa uliowahi kutokea Duniani na umehalalishwa kabisa.
Dini ndiyo itamfanya mtu aamini kuna Mungu au asiamini. Tatizo langu kubwa na dini ni kwanini zipo nyingi? Ikiwa wote tumeumbwa na Mungu mmoja iweje watu wagawanyike kimakundi wakijiaminisha...
Spoiler alert:
We need religion. Tunahitaji dini.
Over time, we (humans) learnt that we need to establish order to rule society for our human race to thrive.
We do this by putting in place systems and codes that can govern our daily conducts.
Every society has specific patterns and guidelines...
Kalenda ya kiislam inasema huu ni mwaka 1445! Hii ni miaka 600 hivi nyuma ya kalenda ya watu waliokombolewa!
Waislamu wengi ni vigumu sana kutenganisha dini na mambo ya kidunia. Jambo hili lilikuwa tatizo pia Ulaya miaka 600 iliyopita. Dini ilikuwa serikali na serikali ilikuwa dini.
Watu wengi...
Vipindi vingi vya Dini hususani vya Kikristo katika radio mbalimbali nchini vinaendeshwa na watangazaji ama wasemaji wasioweza kuzungumza lugha fasaha ya kiswahili. Inaonyesha hata wanao wasaili hawajui kama hawajui kiswahili Sanifu.
Mfano, Unakuta mtangazani anatakiwa aseme Roho Mtakatifu...
Najiuliza kama tusingetawalia kimabavu Africa nila ukoloni tungekuwa wapi leo hii, je teknolkjia ingetupita ? au elimu ingekaa kando nasi?
Napata jibu kuwa bila Africa hamna nchi yoyote ambayo ingesonga mbele, kwamba wote wanategemea mali asili na malighafi zetu wate wanaiba teknolojia yetu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.