remmy

  1. mtwa mkulu

    Kumbukizi ya Dkt. Remmy Ongala wakati wa Nyerere hakukuwa na mgao wa umeme

    Kumbukizi ya Dr Remmy Ongala wakati wa Nyerere hakukuwa na mgao wa umeme.. unaniamsha unajua nimelala vipi uhuni huo.
  2. Bubu Msemaovyo

    Dkt. Remmy alifanya uchochezi?

    Haya ndugu zangu hapo ni Mwanamziki nguli akiimba wimbo trna wakati Nyerere mwenyewe akiwa hai. Waliokubali kukosolewa waliongoza vema. Nikisema vema siyo kwa kunyamaza nyamaza kwenye masuala ya msingi. Waliongoza bila kufanya mauzo kwa nchi yao. Nyerere hakuwahi kuuza sehemu yoyote ya ardhi...
  3. Gily Gru

    Afrika Tuamke -Remmy Ongala

    Remmy Ongala Wimbo Wema👇👇 https://youtu.be/Cb1zTXHT324?si=HY9qWMpUL0M7wpMm Nimekaa nasikiliza nyimbo ya Remmy Ongala huku nikitafakari mienendo ya Siasa za Africa. Tuna safari ndefu sana naamini kabisa adui wa Afrika ni waafrika wenyewe. Nakulilia Afrika
Back
Top Bottom