Habari wakuu:
Niende moja kwa moja kwenye mada;
Kwa kufahamu kuwa kuna watu wanatamani kujifunza Programming language bahati mbaya hawana kompyuta hivyo inapelekea kukata tamaa na kuishia njiani, leo beginner mwenzio nakupa tumaini inuka uendelee.
Inawezekana ulikuwa hufahamu kuwa kuna...