Kwenye mazingira ambayo wengi wanalalamikia hali ngumu ya uchumi, na hata katika ugumu huo wanatozwa kodi na tozo, halafu anapatikana wa kula pesa hiyo iliyopatikana kwa taabu, na watoaji wa pesa wakipitia hali ngumu za kimaisha, hasira inakuwa kubwa sana. Na katika hasira, mara nyingi hekima...