Habari wadau!
Ninaomba wataalamu mtusaidie hapa hasa wa sociology, psychology, na wale by experience hivi kwanini
1. Wasomi WENGI wanakufa kwa pressure, BP, sukari , pumu n.k.
Sisi wengine tuna KUFA kwa kuhara, malaria, typhoid, hukosa Choo n.k?
2. Wanaume waliooa mwanamke mmoja wanakufa...