rest in peace

Rest in peace (R.I.P.), a phrase from the Latin requiescat in pace (Ecclesiastical Latin: [rekwiˈeskat in ˈpatʃe]), is sometimes used in traditional Christian services and prayers, such as in the Catholic, Lutheran, Anglican, and Methodist denominations, to wish the soul of a decedent eternal rest and peace.
It became ubiquitous on headstones in the 18th century, and is widely used today when mentioning someone's death.

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Rest In Peace Professor Kiah Duggins

    RIP Professor Kiah Duggins was among those lost in the mid-air plane collision at Reagan National Airport. Professor Duggins was set to begin a new chapter as a professor at Howard University School of Law this fall. May her memory be a blessing. Rest in power Kiah 😔
  2. Meneja Wa Makampuni

    Tusidanganye, Rest in Peace (RIP) haipatikani bure; lazima uishi maisha mema kwanza

    Acheni kiburi cha uzima, mwabuduni Yesu Kristo. Siku za mwisho zipo karibu. Hapa duniani tunapita. Miaka ya kuishi ya mwanadamu ni 60 hadi 80, baada ya hapo anakufa. Baada ya kifo, ndio mwanzo wa hukumu unaanza hapo. Rest in Peace haipatikani bure; lazima mtu aingie gharama ya kuishi maisha ya...
  3. ukwaju_wa_ kitambo

    TANZIA Rest in peace brother Frank Charles Kapachino

    NIKI MBISHI. Na ukitaka ganja kali ni Sinza kwa #KAPACHINO....R.I.P RASTA "Sshh, jiheshimu joh, weed tutachoma Kimya kimya, we msomeshe "#Kapachino" kwenye kona Akupe kitu cha Arusha, mi nnacho cha Dodoma Usisahau kutoka bling tu, Hovak wamenisoma.." ngwea - kimya kimya' Ukwaju wa kitambo
  4. LIKUD

    TANZIA Zahara wa Afrika Kusini afariki Dunia. Imedaiwa aliwekewa Sumu na Ndugu yake katika Sherehe ya Baada ya Mahari

    Habari ya kwanza niliyokutana nayo leo kwenye mitandao ya kijamii inahusu kifo cha mwanadada Mwimbaji Bulelwa Makutukana ( Zahara) kilicho tokea jana huko Johanesburg baada ya kuugua ini kwa muda mfupi. Zahara amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 35. Binafsi nitamkumbuka sana Zahara kwa...
  5. benzemah

    TANZIA DJ Steve B afariki dunia

    Moja kati ya Ma-DJ ambao waliowahi kufanya vizuri katika muziki wa Bongo Flava hapa nchini akifanya kazi Clouds FM Radio, Steve Mdoe a.k.a "DJ Steve B" "DJ Skills" amefariki dunia jioni ya leo Julai 31, 2023 katika Hospitali ya Muhimbili Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu. Kwa muda mrefu...
  6. Nelson Jacob Kagame

    Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

    Ilikua usiku wa tarehe 16/04/1989 ulikua pale Kicukiro safe house kama sikosei zilikuja taarifa kutokea Gisenyi safe house kua usipobadilisha circle ya watu wanaokuzunguka basi utaiingiza nchi kwenye maafa makubwa ya uhasama wa kijamii ama kikabila kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma..Watu...
Back
Top Bottom