Kitendo cha viongozi wa Chadema kurushiana maneno mbele ya wanachama wenu kimenishangaza sana, wakati umma ukiangalia Chadema kama chama ambacho kitaleta mabadiriko ya uongozi wanagombana hadharani bila aigu tena katika nyakati hihi za kuhamasisha Mwananchi wakajiandikishe katika taftari la...