riba nafuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Ipi online platforms wanatoa mkopo wa riba nafuu kwa mwezi hadi miezi 3?

    Wadau,,ninataka million 1 cash chap ,,so ninaomba kujua ni platformgani naweza kukopa online hiyo pesa na nikalipa interest isiyozid aslimia 10 kwa mwezi to miezi 3? Asante
  2. Trust me ankali

    Pata mkopo kuanzia milioni 1 hadi milioni 50 kwa muda wa siku tatu kwa riba nafuu kutoka KFINANCE.

    pata mkopo wa riba nafuu na haraka kutoka kfinance kwa wakazi wa Dar es salaam na Dodoma tunakopesha wafanyabiashara na waajiriwa wa secta zote serikalini na binafsi, Tunapatikana mbezi beach mtaa wa baraka Kwa mawasiliano tupigie 0739799115
  3. The Lonnie

    Kwanini riba za mabenki ni kubwa sana?

    Kwanini Riba ya mikopo ya mabenki ni kubwa kuliko anachopata mtumishi mfano unaeza kopa mil 6, take home mil 5.31 alafu marejesho inakua mil 9 hii imekaaje wakuu? Tuwasaidie Gen Zee
  4. K

    Benki gani ina riba nafuu ukikopa?

    Mimi mwenzenu nataka kuchukua mkopo ili nifanye ujenzi sasa nilikuwa nauliza Bank ipi inatoa mikopo yenye riba nzuri.
Back
Top Bottom