richmond & dowans

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Subira the princess

    Naomba kuuliza; hii symbion power ndo ile Dowans/Richmond ya Lowassa?

    Wasalam, nakumbuka miaka ile 2005 iliibuka kambuni ya kufua umeme ya Richmond. Kambuni hii baadae ilikujagundulika kuwa ni kampuni hewa kitu kilichopelekea aliekua waziri mkuu wakati ule ndugu lowassa kujiuzuru uwaziri mkuu. Baadae serikali hii ya ccm ilibadili jina la Richmond kuwa symbion...
  2. T

    Serikali imjibu Lowassa, jinsi Richmond & Dowans zimezuia maelfu ya ajira serikalini

    Jamani watanzania tumechoka kusikia kelele za Lowasa ambaye alikuwa ktk serikali na akajivua gamba kwa ukosefu wake wa maadili. Lowasa analaumu serikali imeshindwa kushughulika swala la ajira kwa vijana, lakini kwa mtazamo wangu nadhan huu niwakati mwafaka kwa mkaguzi mkuu wa serikali kutulekea...
  3. nngu007

    Sitta: DOWANS iliirithi Richmond isiyotambuliwa kisheria; Aapa kamwe hatakubali serikali kuilipa!

    *Aapa kamwe hatakubali serikali kuilipa Dowans *Asema iliirithi Richmond isiyotambuliwa kisheria *Wanaharakati watangaza siku 10 za maandamano *Yaelezwa TANESCO kukata rufaa changa la macho Na Waandishi Wetu SIKU chache baada ya Mahakama Kuu kusajili tuzo ya malipo ya sh. bilioni 94...
  4. M

    Kwanini middleman wa Richmond, Dowans na Symbion hakamatwi?

    Ndugu zangu, miezi michache iliyopita, ndugu yangu ambaye ni mbunge alinipa taarifa kuwa kuna baadhi ya wabunge waliokuwa wameongwa pesa nyingi kuitetea Dowans na kusaidia kufanikisha uuzwaji wake. mmoja wapo ya wamiliki alikuwa akisafiri kwenda Dodoma na sanduku lililojaa pesa na kuwagawia...
Back
Top Bottom