Dar es Salaam.
Wakati kesi ya Richmond ikiwa imepangiwa tareheya kuanza kusikilizwa tena Juni 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mshtakiwa katika kesi hiyo, Naeem Gire, ameanza mchakato wa kwenda Mahakama ya Rufani.
Gire ambaye alikuwa wakala wa kampuni inayodaiwa kuwa ni kampuni hewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.