Dar es Salaam.
Wakati kesi ya Richmond ikiwa imepangiwa tareheya kuanza kusikilizwa tena Juni 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mshtakiwa katika kesi hiyo, Naeem Gire, ameanza mchakato wa kwenda Mahakama ya Rufani.
Gire ambaye alikuwa wakala wa kampuni inayodaiwa kuwa ni kampuni hewa...