Rest in peace (R.I.P.), a phrase from the Latin requiescat in pace (Ecclesiastical Latin: [rekwiˈeskat in ˈpatʃe]), is sometimes used in traditional Christian services and prayers, such as in the Catholic, Lutheran, Anglican, and Methodist denominations, to wish the soul of a decedent eternal rest and peace.
It became ubiquitous on headstones in the 18th century, and is widely used today when mentioning someone's death.
Msanii wa Reggae Cocoa Tea, aliyezaliwa Colvin George Scott, amefariki dunia. Alipata umaarufu miaka ya 1980 kwa nyimbo maarufu kama "Lost My Sonia" na "Rikers Island." Cocoa Tea maarufu kwa nyimbo zake zinazojali jamii na uigizaji wa kuvutia alishirikiana na wasanii mashuhuri kama vile Shabba...
Kiongozi wa waislamia duniani ajulikanaye kama HH The Aga Khan amefariki dunia akiwa na Umri wa miaka 88.
Kwa Tanzania, Aga Khan atakumbukwa sana kwa kujenga miundo mbinu mizuri sana ya kutoa huduma za afya na elimu. Shule za Tambaza (Dar), Mkendo (Musoma), Mzizima (Tanga) ni baadhi ya shule...
Soma mwenyewe hii sehemu inayopatikana ktk Waraka wa Chacha Wangwe alioutoa wakati anagombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa".
Soma mwenyewe hapa chini sehemu ya waraka huo:
UTEUZI WA WABUNGE WA VITI MAALUM
...."Naamini ukweli wa suala hili hauna mjadala. Kwamba Mhe. MBOWE na wafuasi wake...
Kuna sintofahamu juu ya kweli Mkapa alikuwa na watoto au hapana! Huyu alikuwa kiongozi wa umma wa watanzania. NYERERE kila mtu anajua hamshahamsha ya watoto wa Nyerere!
Mwinyi hata Rais wa Zanzibar ni mwanae! Kikwete, Riziwan Kikwete ni Waziri! Mangufuli tunamjua ni baba Ester!
Sasa Mkapa...
Huyu ndo jamshid bin Abdullah the last Zanzibar sultan na mke wake.
Sula tu unajua huyu damu yetu kabisa 😂. Mke wake ndo kabisa . Mtoto wa tanga huyu.
Any way he is a citizen of United Kingdom and currently retired in oman since 2020.
Meja Jenerali Mstaafu Charles Mbuge amefariki dunia leo October 12,2024 alfajiri akiwa Nchi India alipokuwa akipatiwa matibabu.
August 02, 2024 Mbuge aliagwa rasmi Jeshini baada ya kulitumikia Jeshi kwa zaidi ya miaka 38 na aliagwa kwa kukagua gwaride rasmi la kijeshi katika Viwanja vya Mgulani...
kila mara nikikutana na ID imeandikwa "R I P" inanifanya niwaze mengi sana
kitu cha kwanza kuwaza au kukumbuka ambacho ni cha kawaida ni kwamba sisi tunaishi kwa muda tuu ila kuna alama inaweza kubaki kwa muda mrefu zaidi,
mfano kwa huku JF unaweza kutafuta kitu na ukakuta kuna mtu alianzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.