Shalom wajumbe wa JF.
Mara tu baada ya kuingia madarakani 2015, Rais John Pombe Magufuli aliunda Kamati Maalum (ukipenda ita tume) ya kuchunguza mali za CCM nchi nzima. Kamati/Tume hii iliongozwa na Dk. Bashiru Ally.
Kamati hii ilifanya kazi kubwa na kuja na findings na mapendekezo ikiwa na...