ripoti ya uchunguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga

    Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Mbowe amesema wanatarajia kupokea taarifa ya Uchunguzi kuhusu kifo cha aliyekuwa Mshauri wa chama hicho, Ali M. Kibao aliyeripotiwa kuuawa na watu wasiojulikana na kueleza ikiwa tofauti na walichoona wataipinga Mbowe amesema hayo baada ya zoezi la uchunguzi...
  2. Malawi: Upinzani waikataa Ripoti ya Uchunguzi wa ajali ya Ndege iliyomuua Makamu wa Rais Chilima

    Chama cha Upinzani cha UTM kimekataa Ripoti ya Uchunguzi wa Ajali ya Ndege iliyosababisha Kifo cha aliyekuwa Makamu wa Rais Saulos Chilima na watu wengine 8. Ripoti hiyo iliyowasilishwa na Serikali kutoka Ofisi ya Uchunguzi wa Ajali za Ndege (BFU) ya Ujerumani, imeonesha ajali ilitokana na hali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…