Ripoti ya usalama wa nchi ya kenya ya mwaka 2024 imeonesha kuwa kuna matukio zaidi ya 7,100 vya ukatili wa kijinsia yaliyorekodiwa tangu Septemba 2023.
Miongoni mwa matukio hayo, kesi 100 za mauaji ya wanawake zimeripotiwa tangu Agosti 2024.
Mmoja wa waathiriwa wa ukatili huu, Sarah Wambui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.