So i am 25 right ? I have been using the same name in most of my Certificates, but for the last 10 years I found out I am a bastard son and my Father Claims to not have had a bastard son, So I am Disowned, Now Here is the Crucial part, My mum Renamed me from Rajab To Amour around 2011 due to...
Mwanangu yuko katika hatua za kuomba nafasi chuoni mwaka huu, lakini anapata usumbufu mkubwa kubadilisha majina kwenye cheti chake cha kuzaliwa ili yaendane na yale yaliyo kwenye vyeti vya shule. Hii ni hatua muhimu ili aweze kuendelea na mchakato wa kuomba chuo.
Vivyo hivyo, hata wakati wa...
Habari wanajukwaa.
Kuna changamoto tunapitia katika uhakiki wavyeti vya kuzaliwa kupitia RITA.
Wengi tupo katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya juu lakini kikwazo kimekuwa kwa RITA.
Mimi binafsi nina wiki ya 2 sasa kuelekea ya 3 cheti hakijahakikiwa na nimeshalipia.
Mbaya zaidi hata...
huduma za ritakuhakikivyeti
mikopo elimu ya juu
mkopo wa chuo
ritaritakuhakikivyetiritakuhakikivyetivyakuzaliwa
uhakiki wa vyeti
verification
vifo
vizazi
vyetivyakuzaliwa