robert amsterdam

Robert "Bob" Amsterdam (born 1956) is a Canadian international lawyer of the law firm Amsterdam & Partners, with offices in Washington, D.C. and London.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkunazi Njiwa

    Ziara yaTundu Lissu Uganda inahusiana na utatu uliopo kati yao Bobi Wine na Robert Amsterdam?

    Robert Amsterdam naye ni wakili wa Bobi Wine.... Imenikumbusha kipindi kile cha kukaribia uchaguzi....zile NGO's ambazo zilitumiwa kupitisha fedha kutoka kwa wafadhili kwenda kwa CHADEMA....na wananchi tukaelezwa kuwa fedha zile zikawa "freezed". Je ni zama mpya na hatua mpya ?!! Trump ,Elon...
  2. Suley2019

    SI KWELI Robert Amsterdam amesema huu ni wakati mwafaka kwa Tundu Lissu kuchuana na Freeman Mbowe katika kuwania nafasi ya Uenyekiti wa chama

    Wakuu Salaam Nimekutana na Taarifa kuokea Akaunti ya Mtandao wa X ukiwa na Post inayppnekana kuwa ni ya Robert Amsteram (Mwanasheria wa Tundu Lissu) akitoa maoni kuwa kwa sasa CHADEMA inatakiwa imruhusu Lissu kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa chama: je kuna kuna ukweli hapa?
  3. B

    Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

    Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam. Hivi karibuni Tundu Lissu alisema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa...
  4. B

    Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer

    Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer https://m.youtube.com/watch?v=FI2RG25sVzk Patrick Nhigula host of America Swahili News in depth conversation with his guest Robert Amsterdam who is an Advocacy and International Lawyer @ 29 September 2024...
  5. Richard

    Robert Amsterdam afikiria kupeleka madai Jumuiya ya Madola ya kutaka Tanzania ifutwe wanachama kutokana na kunyamazia vitendo vya utekaji na mauaji .

    Mwanasheria wa kimataifa Robert Amsterdam apanga kufikisha madai kwenye Jumuiya ya Madola ya kuitaka jumuiya hiyo kuifuta uanachama Tanzania kutokana na mambo yanoendelea nchini hususan watu kutekwa, kuteswa na kuuliwa huku serikali inoongozwa na CCM ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote...
  6. chiembe

    Utapeli wa kisiasa wa CHADEMA: Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za uwakili Tanzania

    Shughuli za uwakili nchini Tanzania hufanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mawakili (The Advocates Act) ambayo kimsingi, inatoa masharti, ikiwemo kuhudhuria shule ya sheria (Law School) na kisha kuapishwa na Jaji Mkuu baada ya kufaulu. Huyu Robert Amsterdam hana leseni ya kufanya shughuli za sheria...
  7. kipara kipya

    Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

    Amekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi. Ubaya hauna kwao. Mwisho wa ubaya ni aibu. Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
  8. abudist

    Robert Amsterdam awalalamikia Jumuia ya Madola kuhusu Rais Magufuli kukataa Corona ipo

    ''Wiki hii kampuni yetu imewasilisha barua ya nyongeza kwa malalamiko yetu mbele ya jumuia ya madola. Kukataa kwa uzembe kwa Magufuli juu ya janga la COVID-19 inawakilisha ukiukaji wa haki za binadamu chini ya Azimio la Harare. ''
  9. MSAGA SUMU

    Robert Amsterdam hawezi kurudia tena kuwa upande tofauti na Palamagamba Kabudi, amejifunza somo kubwa sana maishani

    Kuna mtu mmoja ambaye yuko kwenye mambo ya sheria aliwahi kuniambia hamna mwanasheria yoyote anayependa kuwa upande wa pili na Kabudi, awe muafrika au beberu. Bwana mdogo Amsterdam alipoanza kuongea ongea huko Twitter Kabudi mara moja aliingia kwenye timu ya wanasheria wa Tanzania na ndani ya...
  10. K

    Robert Amsterdam unayaona yanayotekea Marekani?

    Ndugu zangu kheri ya Mwaka mpya? Walimwengu wanafuatilia kwa ukaribu sana uchaguzi wa Marekani na their transfer of power, sasa najiuliza vipi hali hii iliyofanywa na wafuasi wa Trump Jana, ambayo imepelekea watu wa 4 kufariki; ingetokea katika nchi zingine, kama za kiafrika au Latin America...
  11. S

    Robert Amsterdam: We filed today at ICC!! More to come

    Hii ni tweet alioiandika siku ya jana: Nothing can remedy the suffering of the Tanzanian people who were injured or killed or arrested during the recent election. I want to thank Utibe Ntekim and our team for their excellent work. We filed today at the ICC!! More to come!! Nyingine ni hii...
  12. S

    Pendekezo: Wakili wa Kimataifa, Robert Amsterdam apewe nishani ya kupigania haki, uhuru na utu wa mtu mweusi

    Huyu bwana ukimfuatilia vizuri, ni wazi amekuwa ni zaidi ya wakili kwani anakuwa pia ni kama mwanaharakati wa kupigania haki za binadamu hasa katika mataifa yanayoongozwa na watawala katili/madikteta wa kiafrika. Ukifuatilia katika akaunti yake ya twitter,utaona jinsi anavyojitoa kulaani...
  13. G Sam

    Robert Amsterdam athibitisha kufungua mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu kwa Tanzania ndani ya ICC jumatatu

    Baada ya gwiji la sheria la kimataifa ndugu Robert Amsterdam kufanikiwa kuishawishi idara ya mambo ya nje ya Umoja wa Ulaya kuijadili Tanzania dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu na hatimaye kusubiri hatua rasmi za kinidhamu kuchukuliwa, sasa Robert amethibitisha rasmi kuwa jumatatu anaenda...
  14. J

    Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

    Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni. Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae? Tanzania kama taifa tuwe...
  15. Rebeca 83

    CHADEMA tunahitaji wakina Robert Amsterdam watatu hivi

    Yes, kuelekea 2025 lazima tujipange! Moja ya vitu tunavyopaswa kuvishughulikia ni NGOME YETU YA ULINZI 🤣🤣🤣✌️ Yes, moja ya sababu zilizopekelea downfall ya CHADEMA in this election, ni pamoja na viongozi wetu kusumbuliwa na Police. mahakamani kila siku. Sasa basi kuelekea 2025 let us have...
  16. Dr Akili

    Uchaguzi 2020 Hivi ni haki kweli kwa akina Robert Amsterdam kuingilia uchaguzi mkuu wa nchi yetu? Je, tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa?

    Ni kweli kama walivyosema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria.Haijawahi kutokea huko nyuma, kwa uchaguzi mkuu wa nchi yetu kuingiliwa ki wazi wazi na watu wa nchi za nje wa aina ya akina Robert Amsterdam! Sijui ingalikuwaje kama kila mgombea wa urais katika uchaguzi huu angalikuwa na...
  17. Cicadulina

    Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

  18. M

    Wakili Robert Amsterdam ni nani?

    Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua. Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa...
Back
Top Bottom