robert heriel

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Robert Heriel anafanana mno na Michael Scofield

    Hiki ndicho kipande chako baada ya kurekebisha alama za uandishi: Kwa muda sasa, najaribu kumchunguza kijana huyu anaye fahamika kama Robert Herieli almaarufu Mtibeli. Kupitia maneno yake na tabia zake humu mtandaoni (sijajua offline), anafanana wazi kabisa na Michael Scofield. Kwa nini...
  2. Rais, mchukue Robert Heriel wa JamiiForums awe mwandishi wako wa hotuba 2025

    Rais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni kidogo sana kama kawaida yangu ya kuendelea kutoa ushauri...
  3. Watanzania jifunzeni kuumiza akili katika kuandaa maudhui, kuna mtu anachukua nyuzi za Robert Heriel Mtibeli na kujifanya zake bila credit

    Ukitaka kuwa Content creator umiza akili au ukiwa mzee wa kukopi jifunze kutoa Credit . Robert Heriel Mtibeli anatafutwa Sana so wewe unajivisha uhusika wake na kujifanya ndo yeye unakuwa unamkosesha maokoto. The guy is good content creator good advisor , people builder and psychologist so he...
  4. Mshana Jr na Robert heriel nimefatilia maandiko yao nimegundua Tanzania watu wenye akili bado wapo

    Robert Heriel Mtibeli na Mshana Jr Mnafanya Kazi nzuri na Kazi yenu itakumbukwa vizazi na vizazi. Maandiko yenu mmeandika hapa JF niseme yanasaidia watu wengi kujitambua na kuondokana na ujinga. Nyie ni hazina na mtaendelea kuishi katika akili za WATU. Mna uwezo mkubwa Sana wa AKILI na...
  5. Robert Heriel na Donatila hawa members mnaonaje wakawa couple bora?

    Salaamu wana MMU... Binafsi napendekeza hawa members wawe couples kwa mwaka 2024 kama walivo wale wengine (siwataji mnawajua)......hii ni kutokana na uandishi na style yao ya uandishi.. Usisahau kutaja members unaona bado wana matching kuwa pamoja kutokana na miandiko yao kulandana ideas na...
  6. K

    Kwako rafiki Ndugu Robert Heriel

    Katika makala yako kuhusu Mayahudi kumkataa Yesu, moja ya sababu umesema ni kwa sababu Yesu huyu tumjuae sisi hakuzaliwa kutoka kwa ukoo wa Daud kama ilivotabiriwa bali alizaliwa kutokana na Roho Mtakatifu litu ambacho hakikutabiriwa hivyo. Sasa swali langu ni kwamba, katika akili ya kawaida...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…