Roberto Oliveira Gonçalves do Carmo (born 22 June 1960), known as Robertinho, is a Brazilian football manager and former player who manages Simba. As a player, Robertinho played at both professional and international levels as a striker.
Baada ya Simba kupoteza kwa magolo 3-0 dhidi ya Raja Casablanca, hivi ndivyo Kocha wa Simba, Roberto Oliveira Robertinho alivyosema:
“Nafikiri timu yangu imecheza vizuri lakini ilitakiw akucheza kwa umakini zaidi ya ilivyokuwa, ndivyo mchezo wa soka ulivyo, Raja wamekuwa wazuri kuliko sisi...