Kampuni ya Roblox inayohusika na na Michezo ya Mtandaoni (Gaming) imetangaza kubadili Sera zake zinazuhusu Usalama wa Watumiaji wake ambapo kuanzia Novemba 18, 2024 Watoto wenye chini ya miaka 13 hawataruhusiwa kuingia katika Jukwaa hilo
Hatua hiyo inafuatia ukosoaji wa muda mrefu uliokuwa...