rodri

  1. Eli Cohen

    Rodri: "Cristiano Ronaldo hana kipaji asilia. Mtu yoyote anaweza ku-train na kuwa kama yeye"

    Naona huyu jamaa tangu amepata ballon d or uchwara analopoka lopoka tu.
  2. B

    Aisee mpira umebadilika kweli leo hii Rodri anachukua Ballon d'or huku kuna viungo punda zaidi yake hawakuwahi kuikaribia tuzo hiyo!

    Vijana wa 2000 hakika wanakosa burudani sana katika mpira katika zama hizi ambapo kuna mabadiliko makubwa yanatokea kwenye mpira. Ebu twende nyuma kidogo viungo waliowahi kucheza mpira mkubwa hapa duniani lakini hawakuweza kuchukua hiyo tuzo ya Ballon d or. Pale France kulikuwa na wachezaji wa...
  3. Eli Cohen

    Hata soka lina siasa, ilianza ya Messi kuchukua tuzo ya Erling, leo ni Rodri kuchukua ya Vini

    Hizi ni tuzo za mihemuko tu. Kuna wakati ribery ndio alipaswa kushinda ila ghafla tukaona ronaldo anapewa Kuna ronaldo ndio alitakiwa kushinda ila ghafla akapewa messi
  4. Waufukweni

    Rodri ashinda Ballon d’Or 2024, kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo

    Mshindi wa Ligi Kuu ya Uingereza na Euro, Rodri, ametangazwa kuwa mchezaji bora wa kiume duniani kwa mwaka 2024, akiwa kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo. Kiungo wa Manchester City, Rodri, ametunukiwa tuzo ya Ballon d’Or baada ya msimu bora uliomletea mafanikio katika ngazi ya klabu na...
Back
Top Bottom