Kila mtu anapo lala usingizi kuna kitu hutokea kinaitwa rapid eye movement (REM) macho kuzunguka kwa haraka.
Hutokea baada ya saa 1 hadi masaa 2 katika usingizi.
Ndipo utaanza kupata ndoto au maono ambayo ni kama jambo halisi nala kawaida.
Wengi wenu manapokua kwenye ndoto, ndoto hizo huja na...
Habari wana JF,
Kwa kuanza tuu niweke wazi, Mimi ni naamini uwepo wa Mungu. Kumekua na nadharia mbali mbali ambazo zinapingana kuhusu huu ulimwengu tunao ishi , Lakini ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Asili, spirit & science vyote huzumgumza lugha moja kwa namna ya tofauti
Nikisema lugha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.