Mbunge wa sasa wa Rorya ndugu Jaffari Chege yuko kwenye wakati mgumu kisiasa kutokana na wananchi wengi wa Jimbo hilo kumkataa hadharani,hii inajidhihirisha wakati huu anapozunguka maeneo mbalimbali humo jimboni kwenye mikutano ya hadhara.
Uchunguzi unaonyesha Jaffari atakuwa miongoni mwa...