Rorya District is a district in Mara Region, United Republic of Tanzania. The district capital is the village of Ingri Juu, while the largest town is Shirati. The district was created in 2007 from a part of Tarime District. It is bordered by Tarime District to the east, Butiama District to the south, Lake Victoria to the west, and the Republic of Kenya to the north. The majority of inhabitants are from the Luo tribe. Other ethnic group is Kurya. Kine, Simbiti,Sweta and Hacha are sub-groups within Kurya ethnic group.According to the 2012 Tanzania National Census, the population of Rorya District was 265,241.
Msitufanye watoto wadogo eti kakaa tumboni miaka mitatu na anatibu kwa kutumia Sala na maji.
====
‘Mrithi’ Babu wa Loliondo aibukia Rorya
Rorya. Wiki chache baada ya kifo cha Mchungaji Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo, mtoto wa miaka miwili na miezi tisa, Yunis Ogot ameibuka...
HISTORIA MAGEUZI SEKTA YA MAJI YAANDIKWA SHILATI, RORYA
WAZIRI WA MAJI Jumaa Aweso amezindua mradi wa Ukarabati wa Miundombinu ya Maji Shirati Wilayani Rorya.
Mradi huu ni mafanikio ya kihistoria kwa wananchi wa Shirati ikiwa ni utatuzi wa changamoto kubwa ya Maji iliowakabili kwa muda mrefu...
Zahanati ya kijiji cha Nyanchabakenye kata ya Kisumwa wilaya ya Rorya, inakabiliwa na changamoto ya upungufu wa vyumba vya huduma jambo ambalo linasababisha kutokuwepo kwa usiri kwa wagonjwa, wananchi wameomba wadau wa maendeleo kwa kushirikiana na serikali kupanua majengo hayo.
Mh Rais kwa asili ya watu wa haya maeneo fujo, ubabe na kulindana pia hizi wilaya kuna baadhi ya wakulima wa bangi ,watumiaji na wasafirishaji na wizi wa mifugo, uvamizi na unyang'anyi wa kutumia silaha na ikizangatia haya mambo yanahusisha na nchi jirani (mpakani)
Naomba ubadilishe mkuu wa...
Nawasalimu kwa Jina Baba Mwenyezi aliye Mbinguni
Wakurya na Wajita ni makabila yanayopatikana mkoa wa Mara, Wajita wakipatikazana zaidi Bunda na Majita
Wakati wakurya wanapatikana kwa wingi Rorya na Tarime
Makabila haya ni ya watu wanaojiheshimu na wastaarabu Sana Tena Sana tatizo la haya...