Rose Kimaro mkazi wa kijiji cha Otaruni Kibosho kati wilaya ya Moshi ambaye ni dada wa Getruda Shio anayedai kuwa alipigwa makofi na mkuu wa wilaya ya Moshi, James Kaji ofsisini kwake, ameibuka na kueleza kisa chote na kukana mkuu huyo wa wilaya kumpiga makofi mdogo wake.
Rose emeenda mbali...