Sina maneno mengi ila ninayotoka moyoni. Moyo wangu unaelea katika bahari ya mapenzi yako. Wewe ni kama ua langu zuri, lenye harufu nzuri na rangi ya kupendeza.
Kila ninapokuona, moyo wangu unaanza kucheza kama ngoma. Sauti yako tamu kama muziki wa ndege, inaniacha nikifurahi. Tabasamu lako...
Huyu Rose Mayemba Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA namfananisha na Kamala Harris wa Marekani hapa Mdee na Bulaya wakasome
Nimesikiliza wanasiasa wengi sana hapa Tanzania na Africa huyu binti ni tunu na hazina ya Taifa.
Rose Mayemba nimempenda bure huyu dada.
===
Mjumbe wa Kamati Kuu...
Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Chama ambalo limekutana leo Jumatano, Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, ameanza kupanga safu yake ya uongozi kwa Kuteua Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu pamoja na wajumbe wa Kamati...
ally ibrahim juma
amani golungwa
baraza kuu chadema
chadema
hafidhi salehe
john mnyika
katibu mkuu chadema
kuendelea
lissu
mbowe
mwanasheria mkuu
rosemayemba
rugemeleza nshala
salma kasanzu
team mbowe
https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=WHSR_MisNg9yIa0e
Sikuwahi kufikiri wala kumuona huyu dada kuwa kumbe ni jembe kiasi hiki...
Cha ajabu eti Freeman Mbowe anamfanyia figisu figisu asiwe mwenyekiti wa chama mkoa wa Njombe - CHADEMA..
Honestly, simulizi yake hii kumhusu Freeman Mbowe inachukiza na...
freeman mbowe
makao
makao makuu
mayemba
mbowe
mbwa
mkoa
mwenyekiti wa chadema
njombe
ofisi za chadema
roserosemayemba
rushwa
uchaguzi
uchaguzi 2025
walinzi
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe, Rose Mayemba amesema anahisi CCM wana tawi lao CHADEMA. Kupitia mtandao wa X mwenyekiti huyo amenukuliwa akisema "Kwa fedha nilizoshuhudia zikimwagwa USIKU kucha,nikikumbuka fedha zilivyokuwa zinamwagwa Njombe, naanza kuhisi CCM wana tawi lao huku kwetu"
Wakuu,
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Njombe Rose Mayemba amedai kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika jana, Novemba 27.2024 nchini kote haukuwa uchaguzi kama ilivyodhaniwa badala yake ilikuwa ni oparesheni kuwashughulikia wapinzani nchini
Rose...