router za 5g

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Alex Hamadi Hamis

    Nauza Airtel 5G SmartBox Router

    Nimetumia miezi miwili tu Iko full box Bei: 17,5000/- TZS nimenunua 270,000/- TZS +255676095799
  2. Tanzanite255

    Naweza pata lain ya airtel ya 70k, 10mbps

    Kama tangazo linavyojieleza nataka lain ya Router Airtel ile yenye kifurushi cha 70k 10Mbps, router ninayo. Je kuna mtu anaweza akafanya ma nouver nisajili hiyo lain bila kununua router!
  3. lucky_boy

    Router za 5g postpaid ni mkenge au kuna faida?

    Wakuu naomba kujua kama mada inavojieleza, sitaki kuingia mkenge natamani sana kununua router hii ya 5G inayotangazwa sana mitandaoni. Nimeshaongea na baadhi ya wafanya biashara hiyo sijaridhika, sasa nataka kupata neno kwa aliyebahatika kuzitumia. Ni kwa matumizi binafsi lakini hapo mbeleni...
Back
Top Bottom