Mh Afande mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro natumain umzima wa Afya. Baada ya salamu niende kwenye MADA.
Barabara ya kutoka Njiapanda kuja mjini ni barabara iliyojaa Trafiki wengi sana kwa hili nakupongeza maana pia ni barabara inayotumiwa na wahalifu wengi hasa wa biashara za magendo.
Sikitiko kuna...