"TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA"
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Benjamin Kuzaga Agosti 28, 2024 akiwa ameambatana na Watendaji wa Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa Mbeya amezindua Kampeni ya "Tuwaambie kabla hawajaharibiwa" ambayo imezinduliwa...