Sisi wananchi wa Mkoa wa Mwanza tunakupongeza sana kwa uchapaji wako wa kazi katika Mkoa wetu. Tangu ulipohamishiwa katika Mkoa wetu matukio mengi ya kihalifu yamepungua sana.
Katika funga kazi ya kukupa maua yako ni pale ulipofanikiwa kuwaokoa watoto wawili waliotekwa na wahalifu kwa kuwakuta...