Ma RPC wana kawaida ya kuja kwenye press conference kuonyesha mabunduki ya majambazi, masimu yaliobiwa, ma cash money, mikuki, mapanga, na kuyabwaga mezani pwaaaaa.....
Sasa kuna polisi kauliwa Ngorongoro, allegedly.
KABLA hujagusa maiti na kuibeba polisi na wachunguzi duniani kote...