rugemeleza nshala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Pre GE2025 Dkt. Nshala alitishiwa maisha sababu ya kupinga Mkataba wa DP World. Uteuzi wake CHADEMA unamaanisha nini kwenye Siasa za Tanzania?

    Wakuu, Januari 21 ulifanyika Uchaguzi Mkuu CHADEMA kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti kwa Bara na Zanzibar, ambako Lissu alitangazwa kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA, siku hiyo pia ulifanyika Mkutano wa Baraza Kuu la Chama na Lissu akafanya uteuzi wa viongozi, na kati ya...
  2. M

    Pre GE2025 Tundu Lissu amteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu. Ateua Manaibu Katibu Wakuu na Wajumbe wa Kamati Kuu

    Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Chama ambalo limekutana leo Jumatano, Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, ameanza kupanga safu yake ya uongozi kwa Kuteua Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu pamoja na wajumbe wa Kamati...
  3. K

    Ushauri: Timu binafsi iende UAE kurekebisha mkataba wawepo Profesa Tibaijuka, Dkt. Rugemeleza Nshala na wengineo

    Mimi naomba kwa wale wote wanaopenda nchi yetu tusibaki kulalamika na serikali yetu ambayo haifanyi lolote kurekebisha mkataba badala yake naomba tufanye hivi Team ya wasomi wanao taka mabadiliko wasafiri kwenda Dubai kama wadau wa maendeleo na waombe kukutana na viongozi wa huko . Waende na...
  4. Roving Journalist

    Mawakili wa DKT. Rugemeleza Nshala wadai Askari wamepekua maktaba ya mteja wao kinyume cha Sheria

    Siku chache baada ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kumpa wito Wakili Rugemeleza Nshala aliyewahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kufika Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum Dar es Salaam, kuna mambo kadhaa yameibuka. Ikumbukwe kuwa Ofisi ya...
  5. J

    Fatma Karume: Mkishamuua Dkt. Nshala ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri?

    Wakili Msomi Fatma Karume amehoji iwapo Dr Nshala atauwawa ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri ? Mkimuuwa Dr Nshala ndio Wananchi wataukubali Mkataba wa Bandari? Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?! Amehoji haya kupitia ukurasa wake wa twitter Nawatakia Dominica njema! Pia soma...
  6. C

    Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World

    Habari wasomaji na wananchi wote. Je, tumekuwa Taifa la ovyo hivi. Je, hili ni suluhisho la mjadala katika mambo ya Kitaifa? Akiuawa, tunatuna ujumbe gani. Pia soma Mwanasheria Dkt. Nshala Rugemeleza: Mkataba wa bandari ni wa kiuhaini, Umevunja katiba ya nchi na utakwenda kuvunja sheria za...
  7. comte

    Usomi wa Dkt. Rugemeleza Nshala (PhD Harvard Mikataba ya Kimataifa ya Biashara)haumpi uzito mkubwa kwenye suala DP-WORLD

    sijaona machapisho yoyote ya Dr. kwenye eneo lake la ubobezi yaani Mikataba ya Kimataifa ya Biashara badala yake ana machapisho matatu (3) mawali akiwa ameshirikiana na wenzake na moja peke yake. Machapisho yake yote yako nje ya eneo lake la ubobezi Publications (3) Local Communities and...
  8. Mwande na Mndewa

    Mwanasheria Dkt. Nshala Rugemeleza: Mkataba wa bandari ni wa kiuhaini, Umevunja katiba ya nchi na utakwenda kuvunja sheria za nchi

    "Mkataba uliosainiwa ni "Binding Agreement" hakuna namna ya kujitoa, kuna propaganda zinasema eti tungoje HGA, this is nonsense, itategemea vipi HGA wakati IGA unasema hauna namna ya kujitoa na ukitaka kujitoa uende katika mahakamani za kimataifa, angalia ibara ya 10, 18 na 27 ya mkataba huo...
  9. BARD AI

    Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania

    Mwanasheria mkongwe nchini, Dkt. Rugemeleza Nshalla amesema anakusudia kwenda mahakamani pamoja na wadau wengine kupinga dhamira ya Serikali kusaini mkataba kati ya serikali na kampuni ya DP World unaolenga kuboresha Bandari ya Dar es Salaam ambao amedai kuwa umekiuka katiba na sheria mbalimbali...
  10. Lord Diplock MR

    Tundu Lissu: Namuunga mkono Dk Nshala Urais TLS

    Tundu Lissu ametangaza rasmi kumuunga mkono Dk Rugemeleza Nshala kuelekea uchaguzi wa TLS. Dk Nshala ambaye anagombea kukirithi kiti cha Wakili Msomi Fatuma Karume cha Urais kwa sasa ndiye makamu wa Rais wa TLS. Katika andiko lake Lissu amemsafisha Dk Nshala kwa tuhuma zilizokuwa zikisambazwa...
Back
Top Bottom