rushwa barabarani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Doto12

    Tukio la fedheha kwa maafisa wa jeshi la polisi usalama barabarani ni matokeo ya ugonjwa wa rushwa inayoratibiwa na serikali yenyewe

    Habari zenu wana JF Niliwahi kuandika juu ya suala ya usafirishaji kwenye majiji yetu yote. Nilikwenda mbali zaidi kwamba inafika wakati sio bisahara tena bali ni huduma. Serikali yetu inazorotesha maendeleo ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla kwa kung'ang'ania hizi daladala...
  2. S

    Kamanda Muliro, wewe na watu wote wanajua Polisi wawili uliowasimamisha kazi unawaonea, walichofanya ni utaratibu wa siku nyingi wa traffic polisi!

    Kamanda Jumanne Muliro, tuache unafiki, tuache kuoneana. Unatutangazia kuwasimamisha hawa Polisi wawili walioonekana wakichukua fedha kwa makondakta wa dadadala kwa sababu wamefanya kosa au kwa sababu wameanikwa mitandaoni? Ina maana hujui kwamba kila siku traffic wanaokuwa barabarani wanafanya...
  3. Pdidy

    Hivi vituko utavipata Afrika Mashariki tu. Basi linasimamishwa konda anashuka kumuona trafiki na kurudi kuendelea na safari

    Naelekea airport. Nnimepanda basi la Tandika Yaan kuna matraffick kila kituo na wengine wana nyota zao Ajabu na kweli yaan basi zaidi ya 6 zimesimamishwa makonda wanasafwata wanawapa karataso imevingirishwa wanaondoka basi linaendelea na safari Yaan hata kujamkuzuga kuzunguka basi kama...
  4. Mindyou

    Kenya: Wananchi wenye hasira kali wamkamata trafiki anayedaiwa kutaka kupokea rushwa

    Kwenye video ambayo inasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, trafiki mmoja nchini Kenya ameonekana kukamatwa na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kuwa alitaka kupokea rushwa. Video isiyo na tarehe imewaonyesha raia wakimzingira trafiki huyo kwa madai ya kuvunja kioo cha matatu...
  5. A

    KERO Rushwa kati ya askari wa barabarani na daladala barabara ya Kigamboni-Mkuranga imekithiri, wahusika wamelala tunapata hasara

    Kumekuwa na vituo vingi vyenye askari barabara ya Kigamboni-Mkuranga na kila kituo askari wanadai kupatiwa shilingi elfu mbili. Mpaka siku inaisha tunakua tumepoteza kiwango kikubwa tu cha pesa. Wadau hasa TAKUKURU tunaomba mlitazame hili kwani tumewekeza pesa zetu katika sekta ya usafirishaji...
  6. A

    KERO Matrafiki wanadaiwa kuchukua pesa kwa makondakta wa daladala

    Hii kitu inanikera sana na inaniacha na maswali mengi. Hii hasa ipo kwa magari ya Kawe pale karibu na kituo cha Jeshini, na njia ya kwenda Makumbusho kutokea Kinondoni Studio karibu na kituo cha daladala cha Vijana. Askari hao wanasimamisha kila daladala inayopita na konda anakunja hela Tsh...
  7. Roving Journalist

    Polisi yapiga marufuku kutoa fedha taslimu wakati wa ukaguzi wa Vyombo vya Moto

    Jeshi la Polisi Tanzania Nchini limesema kuwa Kila mwaka huadhimisha Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani huku likipiga marufuku kwa mtu yoyote kupokea ama kutoa fedha taslim wakati wa Ukaguzi wa vyombo vya moto. Akitoa taarifa hiyo leo Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna wa Polisi...
  8. Mbalamwezi1

    Mabasi yaendayo mikoani kuzidisha abiria; Hivi mnasubiri mpaka ajali itokee watu wafariki ndio mchukue hatua?

    Kwenu wenye mamlaka, naandika ujumbe huu nikiwa ndani ya Basi la Saibaba kutoka Arusha kwenda Dar, basi hili ni la safari ndefu lakini linasimamisha abiria kama Daladala. Hili ni Moja nililoshuhudia Mimi ila mabasi mengi yale yanayopaki stendi kuu ya Arusha yanafanya hivi, cha kushangaza hili...
  9. Marathon day

    Ushauri kwa Serikali jinsi ya kupunguza rushwa barabarani

    Police wetu wa usalama barabarani wangekua kama hivi, wanapiga picha na risiti dereva anapambana nayo kwenye system na kwenda kulipia kwa control number rushwa ingepungua sana na kuacha kujazana mabarabarani.
Back
Top Bottom