rushwa hospitalini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    DOKEZO Hospitali ya Bugando, Mwanza ina huduma mbovu sana kwa wagonjwa

    Ndugu zangu, kama umewahi kupeleka mtu yeyote mgonjwa utaniambia hiki nilichoona mimi ni sawa ama si sawa. Nilisindikiza rafiki yangu mwaka Juzi aliuguliwa mtoto mgongo wazi kufika pale ikawa huduma mbovu huduma hadi umpatie rushwa daktari ndio ahudumiwe, bahati mbaya sana mtoto akafariki...
  2. Lady Whistledown

    Njombe: Afisa Kilimo ahukumiwa Kwenda jela Miaka 5 au Faini ya Tsh. Laki 5 kwa kuomba na Kupokea Rushwa ya Elfu Kumi

    Afisa Kilimo wa Halmashauri ya Mji Makambako, Rashid Mustapha Makocha amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya akishtakiwa kwa kosa la kuomba na kupokea Rushwa ya Tsh. 10,000 (Elfu Kumi) Akisoma hukumu katika kesi hiyo Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Njombe, Isaac Mlowe amemtia hatiani...
Back
Top Bottom