Wakuu,
Taasisi ya Transparency International imeorodhesha nchi zinazoongoza kwa rushwa duniani na kwa Afrika Mashariki Tanzania inashika namba 2 kama nchi ambayo ina rushwa kidogo zaidi katika ukanda huu.
Source: Buzzroom Kenya, Transparency International
Habari Wana Jamii forum, nitumaini langu wote mnaosoma hii post muwazima.
Ni kwa uchungu mwingi nawaleteeni discussion ya maovu mengi yanayofichwa nakusokomezwa chini ya jamvi yanayofanywa na baadhi ya watendaji wa kata na wasimamizi wa serikali za mitaa. Siku hizi tumekuwa tukiona vimbwanga...
backbencher
madiwani
rushwainatuvurugarushwa ofisi za kata
rushwa wenye viti wa mitaa
serikali za mitaa
uvamizi maeneo ya wazi
watendaji wa kata
watendaji wa mitaa
Rushwa inaua sana utendaji wa ari, kujituma, ubunifu, na kujali.
Tujitahidi ila tuombe viongozi wetu waone rushwa ndio chanzo cha mkwamo wala sio vyama vya siasa wala dini wala kabila wala chochote bali ni rushwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.