rushwa kwenye uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Pre GE2025 Jerry Muro: Wajumbe wanatanguliza pesa mbele kuliko maono

    Wajumbe bhana huwa wana risk miaka 5 kwa pesa ya siku moja tu, vijizawadi vya redio na madaftari, halafu wanakuja kulia njaa miaka mitano ijayo. === "Watu wanapambana kuwa wabunge lakini hawajui wakishapata Ubunge wanaenda kufanya nini,.kuna watu wenye maono na kuna watu wenye fedha,watu wenye...
  2. upupu255

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa UWT Iringa atahadharisha matukio ya Utekaji na Rushwa kipindi cha Uchaguzi

    Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Iringa, Zainabu Mwamwindi ametoa wito kwa wanachama wa UWT Wilaya ya Iringa Vijijini kuwa makini na matukio ya utekaji kwa kupigiwa simu na kufuata maelekezo pasipo kupata uthibitisho kutoka kwa viongozi. Ametahadharisha pia dhidi ya vitendo vya rushwa, akisisitiza...
  3. mwanamwana

    Pre GE2025 Mwenyekiti CCM, Mbeya: Tuwe waadilifu tusipokee wala kutoa rushwa ili tukipambanie chama

    Hayo ameyasema Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi mkoa wa Mbeya Cde. Patrick Mwalunenge katika Wilaya ya kilolo mkoani Iringa kwenye ufunguzi wa mafunzo ya viongozi wa chama cha mapinduzi wilaya, kata mpaka tawi kwa jumuiya zote. "Mafunzo haya ya viongozi wa mitaa yanamaanisha hatua muhimu...
  4. Tlaatlaah

    Kiwango cha rushwa kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa ni aibu na najisi kwa demokrasia na upinzani wa Tanzania kwa ujumla

    My friends, ladies and gentlemen! Rushwa inatembezwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa kama njugu, bila aibu au kificho. Hakuna upande unaogombea uongozi, wa kukemea upande mwingine, kwasababu wote wanashiriki kwenye uovu huo unao chafua haiba ya chama chao na uelekeo wa misingi...
  5. The Palm Beach

    Mtu anayeutafuta uongozi kwa kutumia nguvu ya rushwa ya fedha, huyo hatokani na Mungu Yehova. Huyo baba yake ni shetani - ibilisi. Mkataeni

    Kwa wajumbe wote wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa, DSM; Nimeshitushwa sana na X-Twit hii ya Askofu Mwamakula... Je, kweli mambo yako hivi..? MASWALI KADHAA YA KUJIULIZA: 1. Nani anafanya hivi miongoni mwa wagombea? 2. Kwanini anafanya hivi kujilazimisha kuwa kiongozi? 3. Huyu mtu...
  6. Mkalukungone mwamba

    BAVICHA watoa ufafanuzi mazingira ya rushwa kwenye uchaguzi wao

    Taarifa ya BAVICHA iliyo chapiswa kupitia mtandao wa X imeeleza kama ifuatavyo Si kweli kuwa kuna mazingira ya rushwa (kwenye uchaguzi wa BAVICHA Taifa , Idrissa Kassim alikabidhiwa fedha za nauli kwa wajumbe wa BAVICHA kutoka Kanda ya Magharibi, wakati akiwalipa ndio ilitafsiriwa kuwa anatoa...
  7. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Katavi: MwanaCCM akigawa rushwa kwenye uchaguzi mshughulikieni kwelikweli

    Kauli za kishujaa zinazidi kutawala kutoka kwa viongozi wa CHADEMA. Hii ni kuwajengea kujiamini wananchi katika kipindi hiki cha uchaguzi wasibabaishwe na watu wenyenia ya kuharibu uchaguzi. ================== Mwenyekiti wa CHADEMA @chadematzofficial Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela, amesisitiza...
  8. Mindyou

    LGE2024 Waziri Mchengerwa Kwa Wagombea: Acheni kufanya Propaganda zisizo na ukweli, zitakazoleta taharuki

    Wakuu, Waziri Mohamed Mchengerwa hivi karibuni amedokeza kuwa malalamiko yanayoendelea hivi sasa kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa kwa wingi wake ni propaganda zisizo na msingi. Soma pia: Waziri Mchengerwa: Hakuna Uthibitisho wa madai ya Uandikishaji Wanafunzi Kupiga Kura Wakati...
  9. Mindyou

    LGE2024 Shinyanga: TAKUKURU yathibitisha uwepo wa rushwa kwenye Uchaguzi. Yadokeza Machawa kupelekwa Mbuga Za Wanyama na wapinzani kuhongwa ili wajitoe

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, hivi karibuni imeficchua kwamba baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wanatoa rushwa kwa wagombea ili kujitoa kwenye uchaguzi na hivyo kuwapa nafasi wagombea wao kupita bila upinzani. Soma pia...
  10. J

    Pre GE2025 Tundu Lissu endelea kugawa Ulichonacho (Elimu ya Katiba) na uache kulalamika juu ya vinavyotolewa na wengine

    Maandiko yanasema Wana wa ngurumo Petro, Yakobo na Yohana hawakuwa na Fedha bali walichokuwa nacho ni "Kumpa yule Mlemavu wa Miguu Kutembea". Yule mlemavu alikaa pale akiamini Fedha (Madera na tukutuku) ndio uponyaji wake lakini Wana wa Ngurumo wakampa Kutembea (Elimu) naye akasimama na kwenda...
  11. J

    Pre GE2025 Makalla: Tundu Lissu amesema Rais Samia amegawa Pikipiki nchi nzima, Lissu ajue Samia ni Mwenyekiti wa CCM na huo ndio Uimara wa Chama!

    Mwenezi wa CCM Dr Makalla amesema Tundu Lisu anapohutubia Kwamba Rais Samia amegawa pikipiki nchi nzima anaisaidia CCM kueleweka kwa wananchi Uimara wake Rais Samia ni Mwenyekiti wa CCM, amesisitiza Makalla Makalla amesema katika mikutano ya Katibu mkuu Dr Nchimbi wataendelea kupokea maelfu ya...
Back
Top Bottom