rushwa na ufisadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Z

    Niliwambia kuwa "Chadema ni genge la wahuni" mkanitukana. Haya sasa kiko wapi?

    Mara kadhaa nimewambia kuwa chadema ni genge la wahuni wapiga dili, wanatumia chama kama kitegauchumi. Mungu sio asumani leo hii leo hii tunawaona jinsi wanavyo tuhumiana wao kwa wao kula rushwa/kulamba mzigo. Mnawaona jinsi wanavyo nyoosheana vidole;.........mara...wewe umesha lamba....ohhh...
  2. Mwamuzi wa Tanzania

    Acheni dhihaka, Taifa halistawi kwa kuombewa. Taifa linastawi kwa kupanga mikakati na kuitekeleza; kuacha rushwa na ufisadi

    Itokee siku moja Rais aende uwanja wa Taifa ili kukusanya maoni ya Watanzania juu ya mustakabali wa Taifa lao. Kutwa nzima tujadili ni namna gani umaskini na ufukara ukomeshwe. Tujadili ni namna gani wizi na ufisadi katika utumishi wa umma ukomeshwe. Tujadili mustakabali wa elimu yetu na afya...
  3. Nigrastratatract nerve

    Pre GE2025 Tunataka Rais wa 2025 achukie Rushwa na Ufisadi kwa moyo wake wote

    Ili kuboresha sekta ya kilimo nchini Tanzania mwaka 2025, Rais anayechaguliwa anaweza kuchukua hatua kadhaa muhimu ili kuimarisha kilimo, kuongeza uzalishaji, na kuboresha maisha ya wakulima. Hapa kuna mambo muhimu ambayo Rais anapaswa kuyazingatia: 1. Kuongeza Uwekezaji katika Miundombinu ya...
  4. Li ngunda ngali

    Pre GE2025 CHADEMA si ile yenye uwezo wa kukemea Rushwa na Ufisadi

    Kwa walio ushuhudia umri wa CHADEMA tokea kianzishwe ni wazi haupo wakati Chama hicho kinashuhudia wimbi la utengano uliyo bayana kama siku za hivi karibuni. Kutuhumiana wazi wazi pasi na uficho kuhusu rushwa, ghiriba na ufisadi wao kwa wao ndani ya Chama ni hoja endelevu hadi wakati huu isivyo...
  5. Vugu-Vugu

    Vijana mnapopata nafasi za kiuongozi kaeni mbali na rushwa na Ufisadi, Kuna siku majina yenu yatajadiliwa kama ilivyo leo kwa Kafulila

    Sikilizeni, Nyie vijana hasa wale mnaopata nafasi za kuongoza jaribuni kukaa mbali na matendo mabaya ya rushwa pamoja na ufisadi kuna siku majina yenu yatajadiliwa kwa mema kama ilivyo leo kwa Kafulila, Polepole, Silaa na wengine. Leo naomba mniwie radhi kwa mada hii huenda...
  6. Mwamuzi wa Tanzania

    Wazungu wasitishe misaada nchi za Afrika mpaka pale rushwa na ufisadi vitakapoisha

    Tangu nikiwa mdogo nasikia bilioni kadhaa zimetolewa na Uswizi kama msaada kwenda nchi fulani ya Afrika. Mara Marekani imetoa msaada bilioni mia 4 kwenda nchi fulani. Lakini hizi nchi zinazoongoza kupokea misaada hali ya maisha bado ingalipo. Mpaka leo si vyama tawala au vya upinzani kipindi...
  7. F

    SoC04 Ili kurahisisha utoaji wa taarifa za rushwa na ufisadi

    TAKUKURU - Taasisi Ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa jukumu lake mama ni kupambana na rushwa na ufisadi nchini. Hata hivyo, ufanisi wa juhudi hizi unategemea sana uwezo wa wananchi kutoa taarifa za vitendo vya rushwa na ufisadi kwa urahisi na bila hofu. Zifuatazo ni hatua ambazo nimeona na...
  8. BALIZA H JITOYA

    SoC04 Mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi 5-25

    Rushwa imeendelea kuwa changamoto kubwa inayokwamisha maendeleo na ustawi wa jamii nchini Tanzania. Hata hivyo, kuna uhitaji mkubwa wa kufanya kazi kwa pamoja ili kutokomeza kabisa tatizo hili. Kwa kuzingatia ustawi wa jamii na uratibu sahihi wa maendeleo yake, ifuatayo ni dira ya Tanzania...
  9. A

    SoC04 Je, tunayo nia ya dhati kutokomeza vitendo vya rushwa na ufisadi?

    Rushwa ni kitu chochote Cha thamani kinachotolewa Kwa lengo la kumshawishi mtu afanye au asifanye jambo fulani kinyume na taratibu na Sheria. Aidha kwa mujibu wa benki ya Dunia rushwa ni matumizi mabaya ya madaraka kwa manufaa binafsi. Sheria za Tanzania zimeharamisha vitendo vya rushwa chini...
  10. N

    Serikali, TAKUKURU tupieni jicho Viwandani. Rushwa za ngono ni nyingi, Wanawake wanateseka bila msaada wowote

    Uchunguzi : Wakati Serikali ikikuza sekta ya viwanda ili kupunguza tatizo la ajira nchini, ukuaji wa sekta hiyo umechangia kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa ajira za muda na za kudumu. Ajira hizi zimekuwa hazina ubaguzi wa jinsi kwa jicho la nje, japo kwa jicho la ndani yapo mengi yanayoendelea...
  11. M

    Ni nani chanzo cha rushwa za ngono maofisini?

    Mu Hali gani humu? Tutete kidogo kuhusiana na Rushwa za ngono hasa maofisini. Suala la rushwa ya ngono maofisini limekuwa gumzo Kila kukicha, sasa Kuna sehemu niliketi buana, tulikuwa wanaume na wanawake. Hii MADA ikaja mezani, Guess what! Wanaume takriban wote hoja Yao ilikuwa ni kwamba...
  12. Roving Journalist

    Rais Samia atoa Nishani za Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuzindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais

    Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Nishani za Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuzindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika Viwanja vya Ikulu - Chamwino Dodoma tarehe 24 Aprili 2024...
  13. Josephat Masanja Jerry

    SoC03 Familia: Jiko la mapishi ya Uwajibikaji na Utawala Bora katika jamii

    Picha: Gazeti la Mtanzania UTANGULIZI. Katika jamii, familia ni msingi thabiti wa ujenzi wa maadili na tabia za kijamii na kizazi kijacho. Kama vile jiko linavyokuwa kitovu cha mapishi, familia pia ni kitovu cha kuhamasisha uwajibikaji na utawala bora. Katika mataifa ya Ulaya na Uarabuni...
  14. Allen Kilewella

    Ni wakati gani ndani ya CCM kulikosekana Ufisadi na mafisadi?

    Tangu mwaka 1977 CCM iko madarakani na wakati wote huo mpaka sasa ufisadi na mafisadi ndiyo mtindo wa kuendesha nchi kutoka CCM. Kama kuna mtu anaweza kutuambia kwa uhakika ni wakati gani kulikuwa hakuna Ufisadi na mafisadi ndani ya CCM, atuambie tujue!!
  15. Dave4148

    SoC03 Uwajibikaji wa Watumishi wa Umma kwa maendeleo endelevu

    Uwajibikaji ni maana ya ule wajibu wa kuhakikisha kuwa watumishi wa umma na viongozi wanawajibika kwa vitendo na wanawajibika kwa matendo yao kwa watu wanaowahudumia. Uwajibikaji umekuwa ni muhimu sana kwa kuboresha utawala bora kwa nchi yetu ya Tanzania, hii inatokana na mambo ambayo viongozi...
Back
Top Bottom