rushwa watumishi wa umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Anonymous

    DOKEZO Uozo: TBS imepoteza hadhi ya kuwa chombo cha kuratibu na kusimamia ubora nchini

    Kwa Kiswahili kinajulikana kama CHOMBO CHA KUSIMAMIA UBORA TANZANIA (TBS) Jina zuri lakini la kizungu.. Sio tatizo sana Jengo zuri la viwango Mazingira mazuri ya Kazi Vitendea Kazi bora Maslahi, marvellous na mishahara yakuvutia LAKINI Watendaji wake ni waovu, wanuka rushwa wasio na chembe ya...
  2. Lady Whistledown

    Njombe: Afisa Kilimo ahukumiwa Kwenda jela Miaka 5 au Faini ya Tsh. Laki 5 kwa kuomba na Kupokea Rushwa ya Elfu Kumi

    Afisa Kilimo wa Halmashauri ya Mji Makambako, Rashid Mustapha Makocha amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya akishtakiwa kwa kosa la kuomba na kupokea Rushwa ya Tsh. 10,000 (Elfu Kumi) Akisoma hukumu katika kesi hiyo Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Njombe, Isaac Mlowe amemtia hatiani...
  3. R

    Utitiri wa viwanda vya bati Tanzania na paa za nyumba zenye bati mijini kuwa na kutu ni Udhaifu mkubwa uliopo TBS

    Miji mingi Tanzania inakabiliwa na kupoteza ubora,nyumba nyingi zinaonekana kuchakaa hususani paa za nyumba nyingi kuonekana kuwa na kutu. Yawezekana ni bati kutokuwa na bati nyingi kukosa ubora licha ya hapa nchini Kuna taasisi ya umma inayoshughulika na ubora wa bidhaa. Utitiri wa viwanda vya...
Back
Top Bottom