rushwa ya kuagiza sukari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Maswali ya kujiuliza kuhusu madalali wa sukari Tanzania

    MASWALI YA KUJIULIZA KUHUSU MADALALI WA SUKARI TANZANIA Sugar Catels wamechachamaa, wanatumia kila mbinu ili wafanikiwe kubaki na 'monopoly right' ya kuamua bei ya sukari iweje nchini Maswali ya kujiuliza; 1. Kwanini wanalipa watu mamilioni ili kujaribu kukwamisha mabadiliko ya sheria ya...
  2. Mystery

    Suala la Mbunge Mpina kuthibitisha tuhuma za ukiukwaji wa uagizaji Sukari nje ya nchi, limethibitisha udhaifu wa Bunge letu

    Mbunge Luhaga Mpina amethibitisha mbele ya waandishi wa. habari kuwa kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa sheria katika uagizaji Sukari nje ya nchi, wakati Taifa letu lilipokumbwa na uhaba mkubwa wa Sukari, miezi michache iliyopita. Akiongea mbele ya waandishi wa habari, alisema kuwa ana uthibitisho...
  3. J

    Kwanini kamishna wa PPP David Kafulila hatolei ufafanuzi sakata la sukari?

    Ni kawaida ya kamishna wa PPP kutolea Ufafanuzi sintofahamu zinazohusu mambo mbalimbali ya Biashara na foreign exchange Nchini. Na wakati mwingine huenda pale DK 45 ITV kwa Middle Kutoa Ufafanuzi. Lakini kwenye hili sakata la Sukari mh Kafulila aka Tumbiri yuko kimya Kabisa kana kwamba imports...
  4. K

    Suala la sukari ililoagizwa kuziba pengo lililotokea hapa nchini

    Kumekuwa na mtifuano kati ya Mhe. Mpina na Mhe. Waziri wa Kilimo - Bashe kuhusu sukari iliyoagizwa ili kuziba pengo lililotokea katika nchi. Mengi yamezungumzwa na Watanzania tumesikia mengi. Kama kweli yale maneno aliyoyasema Ndugu Lissu kule Itigi basi Serikali iliyoko madarakani inatakiwa...
  5. Erythrocyte

    Pre GE2025 Itigi: Tundu Lissu adai kila Mfanyabiashara alitoa Rushwa ya Tsh Bil 9 ili kupata kibali cha Kuagiza Sukari

    Akizungumza mbele ya Maelfu ya wananchi huko Itigi, Tundu Lissu, huku akijiamini kupita kawaida, amesema kwamba, baada ya Rushwa hiyo Kabambe, Wafanyabiashara hao wakaruhusiwa kuongeza shilingi elfu 1 kwenye kila kilo na kuvuna hela haramu Bil 27 kwa kila mfanyabiashara, hela hizi zilitokana...
Back
Top Bottom