ruto atangaza hali ya hatari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hotuba ya William Ruto inasikitisha! Yaonyesha ulevi na tamaa ya madaraka

    Wanajamvi, bado natafakari hotuba ya Ruto ambaye ameitoa hivi punde. Ninatizama live hivyo nitaweka hapa text ya hotuba. Hatahivyo ni hotuba ya hovyo sana na anaonekana ku panic. Ameongea kama vile maandamano hayo ni ya wahuni tu na hivyo ameazimia kutumia nguvu zote za kimamlaka alizonazo...
  2. Ruto kuhutubia Taifa usiku huu, kuna uwezekano akatangaza hali ya hatari

    KENYA: Rais William Ruto anatarajiwa kuhutubia Taifa usiku wa leo Juni 25, 2024 ikiwa ni siku iliyotawaliwa na Maandamano katika maeneo mbalimbali ya Nchi hiyo yakiongozwa na Vijana wenye Umri Mdogo (Gen Z) Hatua ya Ruto inakuja wakati taarifa zikieleza takriban Watu 10 wameuawa kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…