ruto must go

  1. Mindyou

    Rigathi Gachagua: Rais Ruto alinipa Ksh Bilioni 2 ili nijiuzulu. Aliniambia naweza kugombea Urais mwaka 2027

    Wakuu, Akizungumza hivi karibuni kwenye mahojiano, aliyekuwa makamu wa Raiswa Kenya, Rigathi Gachagua amesema kuwa alishapewa Ksh Bilioni 2 na Rais Ruto ili ajiuzulu nafasi yake ya Umakamu. "Ruto aliniomba nijiuzulu, na kuniahidi KSh2 bilioni. Aliniahidi na ulinzi wa kutosha na marupurupu...
  2. Waufukweni

    Wakenya Wakinukisha tena, Waimba "RUTO MUST GO" Katika Kituo cha Bomas ya Kenya katika Sakata la Kufukuzwa kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua

    Wakenya walikusanyika kwa wingi na kuanza kuimba kwa nguvu "RUTO MUST GO." Mkutano huo ulilenga kujadili kufukuzwa kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, na umeshuhudia wananchi wakionesha hasira na kutoridhishwa na uongozi wa sasa. Cheche kali za kisiasa na wakati mwingine vurugu zilishuhudiwa huku...
Back
Top Bottom